HAPPY BIRTHDAY JESUS

Christimas ni Birthday ya Yesu Kristo, mwaka huu anafikisha miaka 2018. Kama hivyo ndivyo ni vema nifikirie kumpa zawadi itakayo muenzi. Ili kujua ni zawadi gani itafaa kwenye Birthday ya Kristo ni vizuri kumuuliza Roho Mtakatifu anayemjua vizuri zaidi. Nilipomuuliza nikanong’onezwa kwamba Kristo angependa kusherehekea na wasiojiweza, hususan watoto wasiokuwa na makazi. Nilipoonyesha kushangazwa naContinue reading “HAPPY BIRTHDAY JESUS”