Hatimaye Kimbilio la vijana limepata makao rasmi. Kwa neema ya Bwana tumepata madarasa, mabweni, bwalo,jiko ofisi, store, vyoo, mabafu na visima vya maji. Yote haya yamejengwa juu ya kiwanja cha heka 4. Kituo hiki cha Kimbilio kilichoko Mwasonga, Kigamboni Jijini Dar-es-salaam kitatoa huduma za makazi, afya,elimu, mafunzo, na ushauri katika masuala ya kimaisha, ajira, ujasiriamali,Continue reading “KIMBILIO: MAKAO RASMI”
Monthly Archives: January 2019
WORK4GOOD TRAINING
Our first ever Work4Good training took place yesterday 31st of December 2018. It was a great success.